newsare.net
Wakati Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali Yakubu Hassan Mohamed akiahidi kufanya kazi kwa bidii, watangulizi wake wamemtaka atambue kuwa cheo ni dhamana, kwamba ni mtumishi wa wananchi.Mnadhimu mkuu JWTZ afundwa na watangulizi wake
Wakati Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Luteni Jenerali Yakubu Hassan Mohamed akiahidi kufanya kazi kwa bidii, watangulizi wake wamemtaka atambue kuwa cheo ni dhamana, kwamba ni mtumishi wa wananchi. Read more