newsare.net
Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema ili matibabu ya mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu yagharamiwe na Bunge anapaswa kuwa na vibali vya aina tatu na kwamba anajua watu wa Ujerumani wanamsaidia.Ndugai apigilia msumari gharama matibabu ya Tundu Lissu
Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema ili matibabu ya mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu yagharamiwe na Bunge anapaswa kuwa na vibali vya aina tatu na kwamba anajua watu wa Ujerumani wanamsaidia. Read more