newsare.net
Wakati mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiandaa mkakati wa kuwapima wanaume wanaoishi jijini hapa saratani ya tezi dume nyumba kwa nyumba, imefahamika kuwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) hupokea wanaume wengi wenye matatizo ya mfumo wa uzazi.Muhimbili yataja kinachowatesa wanaume wengi, Makonda aja na kampeni ya tezi dume
Wakati mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiandaa mkakati wa kuwapima wanaume wanaoishi jijini hapa saratani ya tezi dume nyumba kwa nyumba, imefahamika kuwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) hupokea wanaume wengi wenye matatizo ya mfumo wa uzazi. Read more