newsare.net
Fainali za Kombe la Dunia kule Russia zimemalizika lakini kulikuwa na dogo mmoja tu, huyu anachezea Paris Saint-Germain na timu ya taifa la Ufaransa, Anaitwa Kylian Mbappe, alikuwa gumzo kutokana na kiwango alichokionyesha kwenye fainali hizo za Russia.#WC2018: Mbappe kautendea haki umri wake Russia
Fainali za Kombe la Dunia kule Russia zimemalizika lakini kulikuwa na dogo mmoja tu, huyu anachezea Paris Saint-Germain na timu ya taifa la Ufaransa, Anaitwa Kylian Mbappe, alikuwa gumzo kutokana na kiwango alichokionyesha kwenye fainali hizo za Russia. Read more