newsare.net
Rais John Magufuli amewapiga marufuku viongozi wa halmashauri kuwanyang’anya bidhaa wafanyabiashara wadogo na badala yake ameagiza viongozi wote nchini kujielekeza kutatua kero zinazowakabili wananchi ikiwamo ukosefu wa soko la mazao yao.JPM awaonya viongozi wanaobughudhi machinga
Rais John Magufuli amewapiga marufuku viongozi wa halmashauri kuwanyang’anya bidhaa wafanyabiashara wadogo na badala yake ameagiza viongozi wote nchini kujielekeza kutatua kero zinazowakabili wananchi ikiwamo ukosefu wa soko la mazao yao. Read more