newsare.net
Kilio cha Nyasasi Masige, mkazi wa Bunda mkoani Mara mbele ya Rais John Mgufuli kuhusu kuwapo kwa njama za kudhulumiwa ardhi yake, kimezaa matunda baada ya waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kutua wilayani humo na kumaliza mgogoroLukuvi aanza na bibi aliyemlilia Magufuli
Kilio cha Nyasasi Masige, mkazi wa Bunda mkoani Mara mbele ya Rais John Mgufuli kuhusu kuwapo kwa njama za kudhulumiwa ardhi yake, kimezaa matunda baada ya waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kutua wilayani humo na kumaliza mgogoro huo. Read more