newsare.net
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro, Zephania Chaula kuhakikisha Mwenyekiti wa CCM wa wilaya hiyo, Awadhi Omary anakamatwa na polisi na kulazwa mahabusu endapo ataendelea kusababisha migogoro ya ardhi kwenye kitongMnyeti kumweka ndani mwenyekiti CCM ikiwa...
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Alexander Mnyeti amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro, Zephania Chaula kuhakikisha Mwenyekiti wa CCM wa wilaya hiyo, Awadhi Omary anakamatwa na polisi na kulazwa mahabusu endapo ataendelea kusababisha migogoro ya ardhi kwenye kitongoji cha Sukuro. Read more