newsare.net
Mwanamuziki Maua Sama, watangazaji wa Clouds Shaffih Dauda, Soud Brown, msemaji wa Chadema, Tumaini Makene, mshereheshaji Antony Luvanda na watu wengine watatu wameendelea kusota rumande kwa zaidi ya saa 72 katika kituo kikuu cha polisi jijini Dar es Salaam wShaffih Dauda, Maua Sama, Soudy Brown wengine watano wasota rumande
Mwanamuziki Maua Sama, watangazaji wa Clouds Shaffih Dauda, Soud Brown, msemaji wa Chadema, Tumaini Makene, mshereheshaji Antony Luvanda na watu wengine watatu wameendelea kusota rumande kwa zaidi ya saa 72 katika kituo kikuu cha polisi jijini Dar es Salaam wakituhumiwa kufanya makosa ya mtandao. Read more