newsare.net
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuanzia Oktoba 3 hadi 5 mwaka huu itaanza kusikiliza kesi ya wizi wa Sh390 milioni, Dola 55,000 za Marekani na Euro 2,150 inayomkabili aliyekuwa meneja wa Benki ya Barclays, Tawi la Kinondoni, Alune Kasililika na wenzake 11.Kesi ya aliyekuwa kigogo wa Barclays kusikilizwa mfululizo
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuanzia Oktoba 3 hadi 5 mwaka huu itaanza kusikiliza kesi ya wizi wa Sh390 milioni, Dola 55,000 za Marekani na Euro 2,150 inayomkabili aliyekuwa meneja wa Benki ya Barclays, Tawi la Kinondoni, Alune Kasililika na wenzake 11. Read more