newsare.net
Serikali imetaifisha ng’ombe 114 kati ya 320 kwa idhini ya Mahakama waliokamatwa ndani ya Pori la Akiba la Kigosi Muyowosi huku wamiliki wake watano wakihukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela au kulipa faini ya Sh400,000 kila mmoja.Serikali yataifisha ng’ombe 114 walioingia Pori la Kigosi
Serikali imetaifisha ng’ombe 114 kati ya 320 kwa idhini ya Mahakama waliokamatwa ndani ya Pori la Akiba la Kigosi Muyowosi huku wamiliki wake watano wakihukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela au kulipa faini ya Sh400,000 kila mmoja. Read more