newsare.net
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam jana usiku Oktoba 21, 2018 lilimhoji kwa saa kadhaa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), January Makamba kuhusiana na tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo’.Polisi wathibitisha kumhoji January Makamba kuhusu suala la Mo
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam jana usiku Oktoba 21, 2018 lilimhoji kwa saa kadhaa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), January Makamba kuhusiana na tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo’. Read more