newsare.net
«Rwanda ndiyo nchi pekee katika ukanda huu iliyojitokeza kuwa mshirika wakuu katika kuvuruga uthabiti wa taifa langu na kwamba siichukulii tena kama taifa mshirika, bali kama adui wa nchi yangu,» ilisema sehemu ya barua hiyo, ambayo inaonesha ilitBurundi yaishutumu Rwanda
«Rwanda ndiyo nchi pekee katika ukanda huu iliyojitokeza kuwa mshirika wakuu katika kuvuruga uthabiti wa taifa langu na kwamba siichukulii tena kama taifa mshirika, bali kama adui wa nchi yangu,» ilisema sehemu ya barua hiyo, ambayo inaonesha ilitiwa saini na Rais Nkurunziza Desemba 4. Barua hiyo ambayo ameandikiwa Rais wa Uganda Yoweri Museveni ambaye ni mpatanishi wa mgogoro wa Burundi, imesisitiza kwamba Rwanda ndiyo iliandaa na kuwaunga mkono wakimbizi wa Burundi waliotaka kulivuruga taifa hilo. Read more