newsare.net
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Joseph Kakunda ameagiza wakala wa vipimo na mizani nchini kutembelea maeneo yote yanayohusika na ukusanyaji na upimaji korosho kuangalia vipimo vyote na kujiridhisha kama vinakubalika kisheria.Waziri ataka uhakiki wa mizani inayopima korosho
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Joseph Kakunda ameagiza wakala wa vipimo na mizani nchini kutembelea maeneo yote yanayohusika na ukusanyaji na upimaji korosho kuangalia vipimo vyote na kujiridhisha kama vinakubalika kisheria. Read more