newsare.net
Tabia inayojengwa na umoja wa madereva wa pikipiki, maarufu bodaboda ya kushambulia magari wanayopata nayo ajali inaelekea kuwa ‘kikosi cha uasi’ kama hatua za haraka za kudhibiti hali hiyo zitaendelea kuchelewa.Tabia ya bodaboda kushambulia magari idhibitiwe
Tabia inayojengwa na umoja wa madereva wa pikipiki, maarufu bodaboda ya kushambulia magari wanayopata nayo ajali inaelekea kuwa ‘kikosi cha uasi’ kama hatua za haraka za kudhibiti hali hiyo zitaendelea kuchelewa. Read more