newsare.net
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mawasiliano wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu amemtaka Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk Adelardus Kilangi kujiuzulu nafasi hiyo kwa madai hana sifa na kwamba uteuzi wake umekiuka Katiba ya nchi.Fatma Karume kusimamia kesi ya kumshtaki Rais, AG
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mawasiliano wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu amemtaka Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk Adelardus Kilangi kujiuzulu nafasi hiyo kwa madai hana sifa na kwamba uteuzi wake umekiuka Katiba ya nchi. Read more