newsare.net
Mwenyekiti wa kampuni ya Egma inayoshughulikia uwekezaji wa mitaji na dhamana, Harry Kitilya na maofisa wa zamani wa benki ya Stanbic, Shose Sinare na Sioi Solomon watamaliza mwaka wa 2018 bila ya shauri lao kuanza kusikilizwa baada ya mahakama kuambiwa janaKitilya na wenzake kula Krismasi ya tatu rumande
Mwenyekiti wa kampuni ya Egma inayoshughulikia uwekezaji wa mitaji na dhamana, Harry Kitilya na maofisa wa zamani wa benki ya Stanbic, Shose Sinare na Sioi Solomon watamaliza mwaka wa 2018 bila ya shauri lao kuanza kusikilizwa baada ya mahakama kuambiwa jana kuwa upelelezi haujakamilika. Read more