newsare.net
Baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, limesoma maazimio ya kumpongeza Rais John Magufuli kwa kutatua migogoro ya maeneo ya hifadhi na vijiji 366 na kurejesha kikokotoo cha awali cha wastaafu.Madiwani Simanjiro watoa azimio kumpongeza JPM
Baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, limesoma maazimio ya kumpongeza Rais John Magufuli kwa kutatua migogoro ya maeneo ya hifadhi na vijiji 366 na kurejesha kikokotoo cha awali cha wastaafu. Read more