newsare.net
Baadhi ya wakazi wa eneo la Kurasini jijini Dar es Salaam wameilalamikia Manispaa ya Temeke kwa kubomoa nyumba zao na kupuuzia agizo la Mahakama Kuu lililowataka wakae pamoja kujadili mgogoro baina yao na kukubaliana.Wakazi Kusarini walalamikia kubomolewa nyumba zao
Baadhi ya wakazi wa eneo la Kurasini jijini Dar es Salaam wameilalamikia Manispaa ya Temeke kwa kubomoa nyumba zao na kupuuzia agizo la Mahakama Kuu lililowataka wakae pamoja kujadili mgogoro baina yao na kukubaliana. Read more