newsare.net
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk Hussein Mwinyi ametoa rai kwa taasisi zote za kidini nchini kuvumiliana na kustahimiliana pale panapotokea tofauti ili kusaidia kulinda amani iliyopo.Waziri Mwinyi: Tudumishe amani na kuvumiliana
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk Hussein Mwinyi ametoa rai kwa taasisi zote za kidini nchini kuvumiliana na kustahimiliana pale panapotokea tofauti ili kusaidia kulinda amani iliyopo. Read more