newsare.net
Mtanzania aliyeshiriki katika uundwaji wa ndege Boeing 787-8 Dreamliner iliyonunuliwa na Serikali ya Tanzania Julai 2018, George Jonas ni miongoni mwa wanasayansi waliofuzu kupewa tuzo za mwaka huu katika mkutano wa Beya Stem unaohusisha wataalamu wa sayansiMtanzania aliyeshiriki kuunda Dreamliner kutunukiwa tuzo Marekani
Mtanzania aliyeshiriki katika uundwaji wa ndege Boeing 787-8 Dreamliner iliyonunuliwa na Serikali ya Tanzania Julai 2018, George Jonas ni miongoni mwa wanasayansi waliofuzu kupewa tuzo za mwaka huu katika mkutano wa Beya Stem unaohusisha wataalamu wa sayansi, teknolojia, uhandisi na hisabati. Read more