newsare.net
Niliwahi kuwaza jinsi mwanasiasa anayeitwa Bernard Membe atakavyokwenda pale Mtaa wa Lumumba katikati ya jiji la Dar es Salaam. Mwishoni mwa Novemba mwaka jana wakati tukikaribia kuuga mwaka aliitwa pale na katibu mkuu wa chama chake.UCHOKOZI WA EDO : CAG kafika Dodoma kabla ya Mzee Membe kufika Lumumba
Niliwahi kuwaza jinsi mwanasiasa anayeitwa Bernard Membe atakavyokwenda pale Mtaa wa Lumumba katikati ya jiji la Dar es Salaam. Mwishoni mwa Novemba mwaka jana wakati tukikaribia kuuga mwaka aliitwa pale na katibu mkuu wa chama chake. Read more