newsare.net
Kutokana na kuibuka kwa matukio ya mauaji ya watoto katika wa Lamadi mkoani Simiyu ambayo yanafanana na yale yanayoripotiwa kutokea mkoani Njombe, wakazi wa mji huo zaidi ya 1,000 wamepiga kura za siri kuwataja watu wanaodaiwa kuhusika katika matukio hayo.Wapiga kura ya siri kufichua wauaji watoto
Kutokana na kuibuka kwa matukio ya mauaji ya watoto katika wa Lamadi mkoani Simiyu ambayo yanafanana na yale yanayoripotiwa kutokea mkoani Njombe, wakazi wa mji huo zaidi ya 1,000 wamepiga kura za siri kuwataja watu wanaodaiwa kuhusika katika matukio hayo. Read more