newsare.net
Wajasiriamali zaidi ya 150 wanaofanya biashara ndogondogo pembezoni mwa barabara za Lumumba, Mwanga na Stesheni Manispaa ya Kigoma Ujiji mkoani hapa wamebomolewa vibanda vyao na uongozi wa halmashauri.Manispaa Kigoma yawaliza machinga
Wajasiriamali zaidi ya 150 wanaofanya biashara ndogondogo pembezoni mwa barabara za Lumumba, Mwanga na Stesheni Manispaa ya Kigoma Ujiji mkoani hapa wamebomolewa vibanda vyao na uongozi wa halmashauri. Read more