newsare.net
Staa anayewakilisha lebo ya WCB, Raymond Mwakyusa maarufu Rayvanny amesema baada ya kufungiwa na Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), kujishughulisha na muziki alijua utakuwa mwisho wake kimuziki.Rayvanny: Nilijua kwenye muziki ndio basi tena
Staa anayewakilisha lebo ya WCB, Raymond Mwakyusa maarufu Rayvanny amesema baada ya kufungiwa na Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), kujishughulisha na muziki alijua utakuwa mwisho wake kimuziki. Read more