newsare.net
Chadema imesema ilitamani kumchukua aliyekuwa katibu mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, lakini hawakufikia makubaliano, hata hivyo wameamua kushirikiana naye katika chama chake kipya cha ACT Wazalendo.Chadema yasikitika kumkosa Maalim Seif, kumpa ushirikiano
Chadema imesema ilitamani kumchukua aliyekuwa katibu mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, lakini hawakufikia makubaliano, hata hivyo wameamua kushirikiana naye katika chama chake kipya cha ACT Wazalendo. Read more