newsare.net
Hashim Ally, shahidi wa 17 upande wa mashtaka katika kesi ya mauaji ya aliyekuwa mwanafunzi wa Sekondari ya Scolastica, Humphrey Makundi, amekabidhi simu mbili za mshtakiwa wa tatu, Laban Nabiswa katika Mahakama Kuu.Simu tatu zakabidhiwa mahakamani kwa ushahidi
Hashim Ally, shahidi wa 17 upande wa mashtaka katika kesi ya mauaji ya aliyekuwa mwanafunzi wa Sekondari ya Scolastica, Humphrey Makundi, amekabidhi simu mbili za mshtakiwa wa tatu, Laban Nabiswa katika Mahakama Kuu. Read more