newsare.net
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imetangaza kuanzia Mei mosi watumiaji wote wa simu za mkononi nchini wanapaswa kusajiliwa kwa kutumia vitambulisho vya Taifa mfumo utakaouhusisha uchukuaji alama za vidole.Usajili huu wa simu uwaamshe Nida
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imetangaza kuanzia Mei mosi watumiaji wote wa simu za mkononi nchini wanapaswa kusajiliwa kwa kutumia vitambulisho vya Taifa mfumo utakaouhusisha uchukuaji alama za vidole. Read more