newsare.net
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Dk Tulia Ackson amewaonya wabunge wanaotumia simu zao za mkononi kujirekodi sauti wakati muda wao wa kuchangia bungeni unakuwa umemalizika.Dk Tulia awaonya wabunge wanaotumia simu kujirekodi sauti bungeni
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Dk Tulia Ackson amewaonya wabunge wanaotumia simu zao za mkononi kujirekodi sauti wakati muda wao wa kuchangia bungeni unakuwa umemalizika. Read more