newsare.net
Vyama tisa vimejitokeza kuchukua fomu za kugombea ubunge katika jimbo la Arumeru Mashariki, uchaguzi ambao unatarajiwa kufanyika Mei 19, huku utata ukiibuka kwa wagombea wa vyama vya CUF na DP ambavyo wamejitokeza wagombea wawili wawili wakiwa na barua za uWagombea tisa wachukua fomu kumrithi Nassari
Vyama tisa vimejitokeza kuchukua fomu za kugombea ubunge katika jimbo la Arumeru Mashariki, uchaguzi ambao unatarajiwa kufanyika Mei 19, huku utata ukiibuka kwa wagombea wa vyama vya CUF na DP ambavyo wamejitokeza wagombea wawili wawili wakiwa na barua za utambulisho kuchukua fomu. Read more