newsare.net
Oscar Kambona, ambaye alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje, aliwasili Dar es Salaam mchana wa Aprili 19 akitokea Kigoma. Alikutana na uvumi uliokuwa umeenea mjini Dar es Salaam kuwa Sheikh Karume na familia yake yote alikuwa amekimbilia Dar es Salaam kujificha.MUUNGANO WA TANGANYIKA-ZANZIBAR 1964: Bunge la dharura laitwa Dar kwa ajenda maalumu-10
Oscar Kambona, ambaye alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje, aliwasili Dar es Salaam mchana wa Aprili 19 akitokea Kigoma. Alikutana na uvumi uliokuwa umeenea mjini Dar es Salaam kuwa Sheikh Karume na familia yake yote alikuwa amekimbilia Dar es Salaam kujificha. Read more