newsare.net
Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa, Mzee Mkongea Ali ameshindwa kuweka jiwe la msingi katika kituo cha afya cha kata ya Munzeze wilayani Buhigwe mkoani Kigoma baada ya kuwepo makazi ya watu katika eneo la kituo hicho.Kiongozi wa mwenge agoma kuzindua kituo cha afya
Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa, Mzee Mkongea Ali ameshindwa kuweka jiwe la msingi katika kituo cha afya cha kata ya Munzeze wilayani Buhigwe mkoani Kigoma baada ya kuwepo makazi ya watu katika eneo la kituo hicho. Read more