newsare.net
Waziri wa nchi ofisi ya Rais, Tamisemi, Suleiman Jafo amesema changamoto zote zilizopo katika mradi wa mabasi yaendayo haraka (Dart) zitakuwa zimetatuliwa hivyo wakazi wa jiji la Dar es Salaam wataanza kufurahia upya usafiri huo.Changamoto mabasi ya mwendokasi mwisho Agosti
Waziri wa nchi ofisi ya Rais, Tamisemi, Suleiman Jafo amesema changamoto zote zilizopo katika mradi wa mabasi yaendayo haraka (Dart) zitakuwa zimetatuliwa hivyo wakazi wa jiji la Dar es Salaam wataanza kufurahia upya usafiri huo. Read more