newsare.net
Mawaziri watatu juzi walijibu hoja ya mbunge wa viti maalumu (Chadema), Ruth Mollel aliyeibana Serikali akitaka iwaongezee mishahara watumishi wa umma kwa kuwa ni haki yao ya kisheria.Mawaziri watatu wajibu hoja ya mishahara
Mawaziri watatu juzi walijibu hoja ya mbunge wa viti maalumu (Chadema), Ruth Mollel aliyeibana Serikali akitaka iwaongezee mishahara watumishi wa umma kwa kuwa ni haki yao ya kisheria. Read more