newsare.net
Askofu mkuu wa kanisa la Full Gospel Bible fellowship (FGBF) Zakary Kakobe amewaonya watu wote wanajihusisha na matukio ya mauaji ya watoto Mkoa wa Njombe kwa lengo la kupata utajiri ama nyadhifa za uongozi kuacha na kutubu kwani hakuna utajiri unaopatikanMauaji ya Njombe yaibuka ibada ya Pasaka kwa Kakobe
Askofu mkuu wa kanisa la Full Gospel Bible fellowship (FGBF) Zakary Kakobe amewaonya watu wote wanajihusisha na matukio ya mauaji ya watoto Mkoa wa Njombe kwa lengo la kupata utajiri ama nyadhifa za uongozi kuacha na kutubu kwani hakuna utajiri unaopatikana kwa njia za kuua mtu. Read more