newsare.net
Ujumbe wa wafanyabiashara wa Tanzania waliohudhuria maonyesho ya biashara ya Guangzhou, China wamerejea nchini leo Aprili 21 huku wakisema wamejifunza kwamba Tanzania inaweza kupiga hatua kiviwanda kama ilivyo China sasa huku wakitaja nafasi ya zana bora za kWafanyabiashara Tanzania wavutiwa na zana za kilimo China
Ujumbe wa wafanyabiashara wa Tanzania waliohudhuria maonyesho ya biashara ya Guangzhou, China wamerejea nchini leo Aprili 21 huku wakisema wamejifunza kwamba Tanzania inaweza kupiga hatua kiviwanda kama ilivyo China sasa huku wakitaja nafasi ya zana bora za kilimo katika mafanikio. Read more