newsare.net
Msanii wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini maarufu kwa jina la Dudu Baya, amekiri kumpiga msanii mwenzake Gigy Money. Gigy Money ambaye jina lake halisi ni Gift Stanford akihojiwa na kituo cha Wasafi TV jana Mei 20, alieleza kuwa Dudu Baya alimpiga baada ya kumDudu Baya akiri kumpiga makofi Gigy Money
Msanii wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini maarufu kwa jina la Dudu Baya, amekiri kumpiga msanii mwenzake Gigy Money. Gigy Money ambaye jina lake halisi ni Gift Stanford akihojiwa na kituo cha Wasafi TV jana Mei 20, alieleza kuwa Dudu Baya alimpiga baada ya kumtaka kimapenzi na kumkataa. Read more