newsare.net
Rais John Magufuli ameshangazwa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kutokuwa na minara yake na hivyo kutumia minara ya mashirika mengine kwa kulipia kati ya Sh700milioni hadi Sh800milioni kila mwezi.Magufuli ashangazwa TTCL kukodi minara kwa Sh700milioni kila mwezi
Rais John Magufuli ameshangazwa na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kutokuwa na minara yake na hivyo kutumia minara ya mashirika mengine kwa kulipia kati ya Sh700milioni hadi Sh800milioni kila mwezi. Read more