newsare.net
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Waziri Kindamba amesema huduma ya TTCL pesa imezidi kukua huku wateja wakiwa wamefikia 400,000, mawakala 11,000 huku mtaji unaozunguka sokoni ukiwa zaidi ya Sh4 bilioni.Kindamba: TTCL pesa inazidi kukua, tuko vizuri
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Waziri Kindamba amesema huduma ya TTCL pesa imezidi kukua huku wateja wakiwa wamefikia 400,000, mawakala 11,000 huku mtaji unaozunguka sokoni ukiwa zaidi ya Sh4 bilioni. Read more