newsare.net
Juzi nikamsikiliza yule kijana, Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye. Kaongea kwelikweli bungeni. Kaongea haswa. Anasema waliovuruga ununuzi wa korosho kule Kusini mwaka jana ni wahujumu uchumi. Katapika nyongo.UCHOKOZI WA EDO: Hili la korosho, kuna umuhimu wa kuchutama yaishe
Juzi nikamsikiliza yule kijana, Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye. Kaongea kwelikweli bungeni. Kaongea haswa. Anasema waliovuruga ununuzi wa korosho kule Kusini mwaka jana ni wahujumu uchumi. Katapika nyongo. Read more