newsare.net
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewahukumu watu wanne, kutumikia kifungo cha miaka 20 kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kujihusisha na biashara haramu ya meno ya tembo yenye thamani ya Sh 32.5 milioni.Meno ya tembo yapeleka wanne jela miaka 20 kila mmoja
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewahukumu watu wanne, kutumikia kifungo cha miaka 20 kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kujihusisha na biashara haramu ya meno ya tembo yenye thamani ya Sh 32.5 milioni. Read more