newsare.net
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania(KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera, Dk Benson Bagonza amesema vita dhidi ya ufisadi, rushwa na wizi wa rasilimali za Taifa haiwezi kufanikiwa bila kushirikisha kile alichokiita makomandoo saba wazoefu.Askofu Bagonza ataja makomandoo saba mapambano rushwa, ufisadi
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania(KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera, Dk Benson Bagonza amesema vita dhidi ya ufisadi, rushwa na wizi wa rasilimali za Taifa haiwezi kufanikiwa bila kushirikisha kile alichokiita makomandoo saba wazoefu. Read more