newsare.net
Mwaka 2018, Tanzania ilikadiriwa kuwa na watu milioni 54 ambao waliongezeka kutoka milioni 52 waliokuwapo mwaka 2017. Kati ya watu hao, milioni 27.6 sawa na asilimia 51.1 ni wanawake na wanaume walikuwa milioni 26.5 sawa na asilimia 48.9Dar, Mwanza vinara msongamano wa watu mwaka 2018
Mwaka 2018, Tanzania ilikadiriwa kuwa na watu milioni 54 ambao waliongezeka kutoka milioni 52 waliokuwapo mwaka 2017. Kati ya watu hao, milioni 27.6 sawa na asilimia 51.1 ni wanawake na wanaume walikuwa milioni 26.5 sawa na asilimia 48.9 Read more