newsare.net
Uongozi wa Chadema Kanda ya Kusini na Polisi mkoani Lindi wamethibitisha kuchomwa moto kwa ofisi za chama hicho za Lindi mjini usiku wa kuamkia leo Ijumaa Juni 14, 2019 na kusababisha mali za chama kuteketea.Ofisi za Chadema zachomwa moto, polisi waanza uchunguzi
Uongozi wa Chadema Kanda ya Kusini na Polisi mkoani Lindi wamethibitisha kuchomwa moto kwa ofisi za chama hicho za Lindi mjini usiku wa kuamkia leo Ijumaa Juni 14, 2019 na kusababisha mali za chama kuteketea. Read more