newsare.net
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya, Fred Matiang'i amewatimua nchini humo wafanyabiashara saba wa Kichina waliopatikana na hatia ya kufanya biashara kinyume cha sheria katika soko la mitumba la Gikomba.Wachina wauza mitumba watimuliwa Kenya
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya, Fred Matiang'i amewatimua nchini humo wafanyabiashara saba wa Kichina waliopatikana na hatia ya kufanya biashara kinyume cha sheria katika soko la mitumba la Gikomba. Read more