newsare.net
Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Bukombe mkoani Geita, imemhukumu kifungo cha maisha jela Juma John (25) mkazi wa Kata ya Masumbwe wilayani hapa baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumbaka mwanafunzi wa darasa la sita Shule ya Msingi Nyakasaluma.Afungwa jela maisha kwa kubaka mwanafunzi
Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Bukombe mkoani Geita, imemhukumu kifungo cha maisha jela Juma John (25) mkazi wa Kata ya Masumbwe wilayani hapa baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumbaka mwanafunzi wa darasa la sita Shule ya Msingi Nyakasaluma. Read more