newsare.net
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira amesema sekta ya madini mkoani humo imechangia pato la Taifa kwa kiasi cha zaidi ya Sh3.7 bilioni.Sekta ya madini Kilimanjaro yachangia Sh3.7 bilioni kwenye pato la Taifa
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira amesema sekta ya madini mkoani humo imechangia pato la Taifa kwa kiasi cha zaidi ya Sh3.7 bilioni. Read more