newsare.net
Mbunge wa Kahama Mjini (CCM) Jumanne Kishimba ameitaka Serikali kuruhusu watu wanaokosa fedha za kulipia gharama za kutunza miili ama za matibabu kwenda kuwaombea na kufahamu mahali walipozikwa ili ndugu watakapopata fedha wachukue mifupa na kwenda kuzika wanMbunge CCM awaeleza wabunge wao ni maiti watarajiwa
Mbunge wa Kahama Mjini (CCM) Jumanne Kishimba ameitaka Serikali kuruhusu watu wanaokosa fedha za kulipia gharama za kutunza miili ama za matibabu kwenda kuwaombea na kufahamu mahali walipozikwa ili ndugu watakapopata fedha wachukue mifupa na kwenda kuzika wanapopataka. Read more