newsare.net
Wachambuzi wa duru ya kisiasa wametofautiana mitazamo juu ya uamuzi uliochukuliwa na Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Dk Tulia Ackson aliyewatoa ndani ya ukumbi wa Bunge wabunge wa Chadema, mmoja akisema ni mwendelezo katika ukandamizaji wa demokrasia.Kuchanwa kwa hotuba ya upinzani bungeni, wasomi wazungumzia uamuzi wa Dk Tulia
Wachambuzi wa duru ya kisiasa wametofautiana mitazamo juu ya uamuzi uliochukuliwa na Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Dk Tulia Ackson aliyewatoa ndani ya ukumbi wa Bunge wabunge wa Chadema, mmoja akisema ni mwendelezo katika ukandamizaji wa demokrasia. Read more