newsare.net
Watu wawili wakazi wa Dar es Salaam wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Dar es Salaam Kisutu wakikabiliwa na shtaka la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin zenye uzito wa gramu 567.4Wawili kizimbani kwa dawa za kulevya
Watu wawili wakazi wa Dar es Salaam wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Dar es Salaam Kisutu wakikabiliwa na shtaka la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin zenye uzito wa gramu 567.4 Read more