newsare.net
Dodoma. Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe amesema kuna umuhimu wa Bunge kuipangia Serikali ya Tanzania kiasi cha fedha inachotakiwa kukopa ili kupunguza kuongezeka kwa Deni la Taifa, mikopo husika kutumika kikamilifu katika miradi ya maendelZitto ataka Bunge kuibana Serikali ya Tanzania kuhusu kukopa
Dodoma. Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe amesema kuna umuhimu wa Bunge kuipangia Serikali ya Tanzania kiasi cha fedha inachotakiwa kukopa ili kupunguza kuongezeka kwa Deni la Taifa, mikopo husika kutumika kikamilifu katika miradi ya maendeleo. Read more